HAROUB Evody ndiye aliyekuwa shujaa kwenye mchezo uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 kati ya wenyeji Simba na Mtibwa Sugar kwa kukabidhiwa tuzo ya mchezaji bora baada ya dakika 90 kutamatika.
Ndani ya Simba Kibu ameondoka akiwa amefunga jumla ya mabao 15 kwenye Ligi Kuu Bara, lakini ndani ya miaka minne na nusu ...
VITA ni kali England. Ndio, Arsenal na Manchester City zipo ktika vita kali ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) zina ...
TAJIRI wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe amesema kuwa baadhi ya maamuzi aliyoyafanya ndani ya Manchester United yanaanza “kuzaa matunda”.
KWA mara nyingine, Fountain Gate imehama kituo cha mechi zake za nyumbani za Ligi Kuu baada ya kuamua kutumia Uwanja wa ...
ARSENAL imepata pigo jingine katika harakati zakeza kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England na michuano mbalimbali baada ya ...
Katika kundi ililopo, Azam imefungana pointi na Maniema kila moja ikiwa na tisa baada ya mechi tano, nyuma ya Wydad AC ya ...
MSHAMBULIAJI Kibu Denis aliyekuwa Simba aliyelamba dili la kujiunga na Al Nasr Benghazi ya Libya ameshindwa kujizuia wakati ...
Chama amemvua namba kiungo huyo Mkenya akiwa ni wa tatu sasa, wakiwamo wawili ndani ya Simba na mmoja wa Yanga aliyoitumikia pia kwa msimu mmoja kabla ya kutua Singida Black Stars msimu huu na kucheza ...
TOTTENHAM Hotspur inamtazama beki wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani, Antonio Rudiger (32), kama mbadala wa nahodha wa sasa wa timu hiyo, Cristian Romero (27) anayeweza kuondoka ...
MABOSI wa Tottenham Hotspur wanadaiwa kuwa katika mpango wa kutaka kumrejesha Mauricio Pochettino katika msimu ujao baada ya kumfuta kazi kocha Thomas Frank.
LICHA ya JKT Tanzania kumaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ikiongoza kwa pointi 27, kikosi hicho cha maafande ndio kinachoongoza kwa wachezaji wa timu hiyo kuonyeshwa kadi ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results