TOTTENHAM Hotspur inamtazama beki wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani, Antonio Rudiger (32), kama mbadala wa nahodha wa sasa wa timu hiyo, Cristian Romero (27) anayeweza kuondoka ...
Chama amemvua namba kiungo huyo Mkenya akiwa ni wa tatu sasa, wakiwamo wawili ndani ya Simba na mmoja wa Yanga aliyoitumikia pia kwa msimu mmoja kabla ya kutua Singida Black Stars msimu huu na kucheza ...
Ndani ya Simba Kibu ameondoka akiwa amefunga jumla ya mabao 15 kwenye Ligi Kuu Bara, lakini ndani ya miaka minne na nusu ...
MABOSI wa Tottenham Hotspur wanadaiwa kuwa katika mpango wa kutaka kumrejesha Mauricio Pochettino katika msimu ujao baada ya kumfuta kazi kocha Thomas Frank.
TAJIRI wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe amesema kuwa baadhi ya maamuzi aliyoyafanya ndani ya Manchester United yanaanza “kuzaa matunda”.
LICHA ya JKT Tanzania kumaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ikiongoza kwa pointi 27, kikosi hicho cha maafande ndio kinachoongoza kwa wachezaji wa timu hiyo kuonyeshwa kadi ...
REAL Madrid na UEFA zimetangaza kuwa zimefikia rasmi hatma ya mgogoro wao wa kisheria kuhusu pendekezo la kuanzishwa kwa Ligi ya European Super League.
ARSENAL imepata pigo jingine katika harakati zakeza kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England na michuano mbalimbali baada ya ...
VITA ni kali England. Ndio, Arsenal na Manchester City zipo ktika vita kali ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) zina ...
JUMANNE ya wiki hii, Simba ilikuwa na mkutano na waandishi wa habari pale maeneo ya Posta, Dar es Salaam kwa lengo la kutoa taarifa ya kurejeshwa kwa usajili wa wanachama na mashabiki.
Katika kundi ililopo, Azam imefungana pointi na Maniema kila moja ikiwa na tisa baada ya mechi tano, nyuma ya Wydad AC ya ...
KWA kipindi kirefu, tasnia ya Bongo Fleva ilitawaliwa na sauti za wanaume, huku wanawake wakionekana wachache waliokuwa wakipambana kutafuta nafasi katikati ya ushindani mkali.
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results